18 Lea akasema: “Mungu amenipa mushahara wangu kwa sababu nilimupa mume wangu mujakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Isakari.
Mungu akasikiliza ombi la Lea, naye akapata mimba na kumuzalia Yakobo mutoto wa tano mwanaume.
Lea akapata mimba tena na kumuzalia Yakobo mutoto wa sita mwanaume.
Wana wa Lea walikuwa Rubeni, muzaliwa wa kwanza wa Yakobo, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari na Zabuluni.
Isakari na wana wake: Tola, Puwa, Yasubu na Simuroni.
Kutoka nusu ya kabila la Manase: watu elfu kumi na nane, waliotajwa majina kwa kuja kumuweka Daudi kuwa mufalme.
Juu ya kabila la Zebuluni akasema: “Zebuluni na Isakari mufanikiwe katika shuguli zenu na munapokuwa katika mahema yenu.