Basi, magaribi Yakobo alipokuwa anarudi toka kwenye shamba, Lea alitoka kwenda kumupokea, akamwambia: “Leo unapaswa kulala nami, maana nimekununua kwa dudai za mwana wangu.” Hivyo Yakobo akalala kwa Lea usiku ule.
Kisha Yawe akamwambia: “Nimeona mateso ya watu wangu wanaokuwa katika inchi ya Misri na nimesikia kilio chao kinachosababishwa na watesaji wao. Ninajua mateso yao,
Lakini yule malaika akamwambia: “Zakaria, usiogope, kwa maana Mungu amesikia maombi yako. Muke wako Elizabeti atakuzalia mutoto mwanaume, nawe utamwita jina lake Yoane.