Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 30:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Basi, magaribi Yakobo alipokuwa anarudi toka kwenye shamba, Lea alitoka kwenda kumupokea, akamwambia: “Leo unapaswa kulala nami, maana nimekununua kwa dudai za mwana wangu.” Hivyo Yakobo akalala kwa Lea usiku ule.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 30:16
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ikakuwa wakati wa mavuno ya ngano, Rubeni alikwenda kwenye shamba na kule akapata matunda ya dudai, akamuletea mama yake Lea. Rakeli akamwambia Lea: “Tafazali, unipe sehemu ya dudai za mwana wako.”


Lakini Lea akamwambia kwa ukali: “Unazani ni jambo dogo kuninyanganya mume wangu na sasa unataka kutwaa dudai za mwana wangu?” Rakeli akamujibu: “Ikiwa utanipa dudai za mwana wako, Yakobo atalala kwako leo.”


Mungu akasikiliza ombi la Lea, naye akapata mimba na kumuzalia Yakobo mutoto wa tano mwanaume.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ