Mwanzo 30:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Basi, magaribi Yakobo alipokuwa anarudi toka kwenye shamba, Lea alitoka kwenda kumupokea, akamwambia: “Leo unapaswa kulala nami, maana nimekununua kwa dudai za mwana wangu.” Hivyo Yakobo akalala kwa Lea usiku ule. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |