Mwanzo 30:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Ikakuwa wakati wa mavuno ya ngano, Rubeni alikwenda kwenye shamba na kule akapata matunda ya dudai, akamuletea mama yake Lea. Rakeli akamwambia Lea: “Tafazali, unipe sehemu ya dudai za mwana wako.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |