12 Zilpa, mujakazi wa Lea, akamuzalia Yakobo mutoto wa pili mwanaume.
Lea akasema: “Bahati njema.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Gadi.
Lea akasema: “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Aseri.
Eneo linalofuatana na la Dani, kutoka mashariki mpaka magaribi litakuwa la Aseri.