11 Lea akasema: “Bahati njema.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Gadi.
Zilpa akamuzalia Yakobo mutoto mwanaume.
Zilpa, mujakazi wa Lea, akamuzalia Yakobo mutoto wa pili mwanaume.
Na wana waliozaliwa na Zilpa, mujakazi wa Lea, walikuwa Gadi na Aseri. Hao ndio wana wa Yakobo, aliozaa alipokuwa kule Padani-Aramu.
Gadi na wana wake: Sifioni, Hagi, Suni, Esiboni, Eri, Arodi na Areli.
“Gadi atashambuliwa na wanyanganyi, lakini yeye atawafuata nyuma na kuwashambulia.
Lakini nitafanya nini na ninyi munaoniacha mimi Yawe, musioujali Sayuni, mulima wangu mutakatifu, munaotolea miungu chakula na divai kusudi iwapatie bahati zuri.