10 Zilpa akamuzalia Yakobo mutoto mwanaume.
Lea akasema: “Bahati njema.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Gadi.
Lea alipoona ameacha kuzaa, alimutwaa Zilpa, mujakazi wake, na kumupa Yakobo kusudi akuwe muke wake.
Na wana waliozaliwa na Zilpa, mujakazi wa Lea, walikuwa Gadi na Aseri. Hao ndio wana wa Yakobo, aliozaa alipokuwa kule Padani-Aramu.
Eneo linalopakana na kabila la Zebuluni, kutoka mashariki kuelekea magaribi, litakuwa eneo la kabila la Gadi.
Makabila ya Rubeni na Gadi yalikuwa na mifugo mingi sana. Basi, walipoona kwamba eneo la Yazeri na Gileadi lilifaa kwa mifugo,