Mara tu walipoingia katika muji, Elisha akaomba, akisema: “Ee Yawe, uwafumbue macho kusudi waone.” Yawe akasikia ombi lake, akawafumbua macho. Nao wakajikuta wako katikati ya muji wa Samaria.
Muji Yerusalema ulitenda zambi kubwa, ukakuwa muchafu kwa ajili ya zambi zake. Wote waliousifia wanauzarau, maana wameuona uchi wake. Muji wenyewe unaugua na kujificha kwa ajili ya haya.