2 Mwanamuke akamujibu yule nyoka: “Tunaweza kula matunda ya miti katika bustani
Yawe Mungu akamwamuru yule mwanaume: “Unaweza kula matunda ya muti wowote katika bustani.
Lakini usikule matunda ya muti wa kujua mazuri na mabaya, maana siku utakapokula matunda ya muti ule, hakika utakufa.”
lakini Mungu alisema: ‘Musikule matunda ya muti unaokuwa katikati ya bustani, wala musiuguse. Kama sivyo, mutakufa.’ ”
Waovu wamepotoka tangu kuzaliwa kwao, hao waongo wamekosa tangu walipozaliwa.