Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 3:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Kwa jasho la uso wako utajipatia chakula, mpaka utakaporudi katika udongo, maana ulitwaliwa katika udongo. Wewe ni mavumbi na utarudi katika mavumbi.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 3:19
33 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abrahamu akasema: “Nimesubutu kuzungumuza na Bwana, mimi ninayekuwa mavumbi na majivu tu.


Halafu Yawe Mungu akamwumba mwanaume kwa udongo, akamupulizia ndani ya pua pumzi ya uzima, na yule mwanaume akakuwa kiumbe chenye uzima.


“Mimi ninaishi kama mugeni kati yenu. Munipatie sehemu ya udongo ya kaburi, kusudi nipate kumuzika marehemu muke wangu.”


Udongo utakuzalia miiba na magugu, nawe utakula majani ya shamba.


Adamu alikufa akiwa na umri wa miaka mia tisa na makumi tatu.


akisema: Nilikuja uchi katika dunia, nitaondoka uchi katika dunia. Yawe amenipa, Yawe ametwaa. Jina la Yawe litukuzwe.


Kumbuka kwamba uliniumba kwa udongo. Utanirudisha tena katika mavumbi?


Na nyuma ngozi yangu kuharibika hivyo, nitamwona Mungu nikiwa na mwili huu.


Hata hivyo, wote wanakufa na kuzikwa, wote wanafunikwa na vidudu.


viumbe vyote vingeangamia kabisa, naye mwanadamu angerudi katika mavumbi.


Zaidi sana wanadamu, viumbe vya udongo, watu ambao musingi wao ni mavumbi, ambao wanaweza kupondwapondwa kama chawa!


Mungu anajua jinsi tulivyoumbwa; anajua kwamba sisi ni mavumbi.


Hapo mwanadamu naye anaenda kwenye kazi zake; naye anatumika mpaka magaribi.


Ukiwageuzia mugongo, wanaogopa; ukiondoa pumzi yao, wanakufa na kurudi ndani ya mavumbi walimotoka.


Munajisumbua bure kuamuka asubui mapema na kuchelewa kwenda kupumzika magaribi, mujipatie chakula kwa jasho lenu. Mungu anatimiza mahitaji ya wapendwa wake hata wanapolala.


Nimekwisha kama maji yaliyomwangika; mifupa yangu yote imeteguka; moyo wangu ni kama inta, unayeyuka ndani yangu.


Maana Yawe ni mufalme; yeye anatawala mataifa.


Unawarudisha watu katika mavumbi walimotoka, ukisema: “Wanadamu, murudi!”


Anayetangatanga mbali na njia ya ufahamu, atajikuta ametua kati ya wafu.


Nilifanya bidii kuchunguza na kutafuta kwa hekima kila kitu kinachotukia chini ya mbingu. Hiyo ni taabu kubwa ambayo Mungu amewapa wanadamu.


Mwanadamu anafaidia nini kwa jasho lake lote hapa chini ya jua?


mavumbi yanarudilia inchi tena, na roho inamurudilia Mungu aliyeipana.


Wote wanakufa na kwenda kwa nafasi moja. Wote wametoka katika mavumbi na wote watarudi katika mavumbi.


Hili nalo ni jambo baya sana. Atarudi kama vile alivyokuja. Amepata faida gani? Ametoa jasho kwa kukamata upepo.


Wengi wa wale ambao wamekwisha kufa, watafufuka; wengine watapata uzima wa milele, na wengine watapata haya na kuzarauliwa milele.


Adamu wa kwanza aliumbwa kwa udongo, yeye ni wa dunia, lakini Adamu wa pili alitoka mbinguni.


Yule aliyekuwa akiiba, asiibe tena, lakini ajikaze kufanya kazi peke yake kwa usawa kusudi apate kuwasaidia wakosefu.


Wandugu, munakumbuka namna tulivyosumbuka na kazi ngumu. Wakati tulipowahubiria Habari Njema ya Mungu, tulitumika muchana na usiku kusudi tusimulemee hata mutu mumoja kati yenu.


Kwa maana, wakati tulipokuwa kwenu, tulikuwa tunawaagiza hivi: “Mutu yeyote asiyetaka kutumika, na hapaswi kula vilevile.”


Kila mutu anapaswa kufa mara moja tu, na nyuma ya kufa, anahukumiwa na Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ