Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 29:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Siku moja akaona kisima katika mbuga, na kando yake makundi matatu ya kondoo wakipumzika. Kondoo walikuwa wanakunyweshwa kutoka kisima hicho kilichokuwa kimefunikwa kwa jiwe kubwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 29:2
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, yule mutumishi akatwaa ngamia kumi wa bwana wake akaondoka akiwa na zawadi nzuri za kila aina. Akasafiri kwenda katika muji Nahori alimokaa, katika inchi ya Mesopotamia.


Alipofika, alipigisha ngamia wake magoti kando ya kisima kilichokuwa inje ya muji. Ilikuwa magaribi wakati ambapo wanawake wanakwenda kwenye kisima kuteka maji.


Niko hapa kando ya kisima ambapo wabinti za wenyeji wa muji wanakuja kuteka maji.


Kwa kawaida, makundi yote ya kondoo yalipokusanyika, wachungaji walirudisha lile jiwe kwa pamoja toka kwenye kisima na kuwakunywesha kondoo. Halafu walifunika tena kisima kwa jiwe lile.


Ananipumzisha kwenye majani mabichi; ananiongoza kando ya maji matulivu,


Hawatasikia tena njaa wala kuwa na kiu. Upepo wenye kuunguza wala jua havitawachoma, mimi niliyewahurumia nitawaongoza na kuwapeleka kwenye chemichemi za maji.


lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayomupa, hatasikia kiu tena hata kidogo. Maji nitakayomupa yatakuwa ndani yake kama chemichemi inayotiririka maji ya uzima wa milele.”


Pale kulikuwa kisima kilichokuwa cha Yakobo. Yesu akaikaa kwa ukingo wa kisima, kwa sababu alikuwa amechoka na safari. Ilikuwa karibu na saa sita za muchana.


Kwa maana Mwana-Kondoo anayekuwa katikati ya kiti cha kifalme, atawachunga na kuwaongoza kwenye chemichemi ya maji ya uzima. Naye Mungu atawapanguza machozi yao yote.”


Kwenye visima vya maji, tangaza ushindi wa Yawe, ushindi kwa walimaji wake katika Israeli. Watu wa Yawe walishuka kwenye mulango wa muji.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ