Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 28:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Hivyo Isaka akamwita Yakobo, akamubariki, akamwagiza akisema: “Usioe mwanamuke yeyote Mukanana.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 28:1
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

nami nitakuapisha kwa jina la Yawe, Mungu wa mbingu na dunia, kwamba hautamwoea mwana wangu binti yeyote kati ya wabinti za Wakanana ninaoishi nao.


Bwana wangu aliniapisha mimi akisema: ‘Hautamwoea mwana wangu binti yeyote kati ya wabinti za Wakanana ambao ninaishi katika inchi yao.


Uniapie kwamba utakwenda mpaka katika inchi yangu, kwa jamaa zangu, umutafutie mwana wangu Isaka muke.”


Halafu unitengenezee chakula kitamu, kile ninachopenda, uniletee nikule, nipate kukubariki mbele ya kufa kwangu.”


Rebeka akamwambia Isaka: “Sina raha kabisa katika maisha kwa sababu ya hawa wanawake Wahiti wa Esau. Ikiwa Yakobo ataoa mumoja wa wanawake hawa Wahiti, maisha yangu yana faida gani?”


Esau akatambua kwamba Isaka alibariki Yakobo na kumutuma aende kuoa kule Padani-Aramu, na kwamba alipomubariki, alimukataza asioe mwanamuke Mukanana.


Kwa hiyo tutawaoeshea wabinti zetu na kuwaoa wabinti zenu. Tutaishi pamoja nanyi na kuwa jamaa moja.


Muache tuoeane: ninyi mutuoeshee wabinti zenu, nanyi muoe wabinti zetu.


Akiwa kule, Yuda akamwona binti ya Sua Mukanana, akamwoa.


Kisha Israeli akamubariki Yosefu, akisema: “Mungu ambaye babu zangu Abrahamu na Isaka walimutii katika maisha yao, Mungu ambaye ameniongoza katika maisha yangu mpaka leo,


Hayo ndiyo makabila kumi na mawili ya Israeli, na hayo ndiyo maneno baba yao aliyowaambia alipowabariki, kila mumoja wao kama alivyostahili.


wana wa Mungu wakaona kwamba wale wabinti za watu ni wazuri, wakawatwaa wale waliowapendeza kuwa wake zao.


Muoe, mupate watoto. Muwaoee wana wenu na kuowesha wabinti zenu, nao vilevile wapate watoto. Muongezeke kule wala musipunguke.


Hii ndiyo baraka ambayo Musa, mutu wa Mungu aliwatakia Waisraeli mbele ya kufa kwake. Alisema hivi:


“Murudie kwenu na utajiri mwingi; ngombe wenu wote, feza, zahabu, shaba, chuma na nguo nyingi. Mugawanyane na wandugu zenu vitu vyote mulivyonyanganya kutoka kwa waadui zenu.” Musa alikuwa amepatia nusu ya kabila la Manase sehemu yao kule Basani. Naye Yoshua akaipatia nusu ya pili ya kabila lile sehemu yao kule upande wa magaribi wa muto Yordani kama vile alivyoyapatia makabila yale mengine.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ