6 Rebeka akamwambia mwana wake Yakobo: “Nimemusikia baba yako akimwambia kaka yako Esau
Basi, Isaka akamupenda Esau kwa sababu alipenda kula nyama wa mawindo yake, lakini Rebeka akamupenda Yakobo.
Kumbe, Rebeka alikuwa anasikiliza wakati ule Isaka alipokuwa akiongea na Esau, mwana wake. Kwa hiyo, Esau alipokwenda katika pori kuwinda,
amwindie nyama na kumutengenezea chakula kitamu, akikule, apate kumubariki mbele ya Yawe mbele ya kufa kwake.