Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 27:45 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

45 Kasirani yake itakapopoa juu yako, naye atakapokuwa amesahau mambo uliyomutendea, nitatuma mutu kwa kukutafuta kule. Kwa nini nikufiwe na ninyi wote wawili siku moja?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 27:45
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Labda baba atataka kunipapasa, nami nitaonekana kama mudanganyifu, kwa hiyo nitajiletea laana pahali pa baraka.”


Yakobo akamujibu baba yake: “Ni mimi Esau, muzaliwa wako wa kwanza. Nimefanya kama ulivyoniagiza. Tafazali baba, amuka uikae ukule nyama ya mawindo yangu kusudi upate kunibariki.”


Lakini Isaka akasema: “Ndugu yako alikuja kwa udanganyifu, naye ametwaa baraka yako.”


Katika moyo wa mutu muna mipango mingi, lakini anachokusudia Yawe ndicho kitakachokamilika.


Nani anayeweza kusema kusudi kitu kifanyike ikiwa Yawe asipoamuru ikuwe hivyo?


Wale wenyeji wa kule walipoona nyoka yule anajizingia kwa mukono wake wakasemezana: “Hakika mutu huyu ni mwuaji, kwa maana ijapokuwa alipona katika hatari ya bahari, kufuatana na azabu ya haki ya Mungu, kufa kwake kunatimia.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ