Mwanzo 27:45 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
45 Kasirani yake itakapopoa juu yako, naye atakapokuwa amesahau mambo uliyomutendea, nitatuma mutu kwa kukutafuta kule. Kwa nini nikufiwe na ninyi wote wawili siku moja?”
Wale wenyeji wa kule walipoona nyoka yule anajizingia kwa mukono wake wakasemezana: “Hakika mutu huyu ni mwuaji, kwa maana ijapokuwa alipona katika hatari ya bahari, kufuatana na azabu ya haki ya Mungu, kufa kwake kunatimia.”