Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 27:42 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

42 Lakini Rebeka alipojua nia ya mwana wake mukubwa, akamwita mwana wake mudogo Yakobo, akamwambia: “Angalia, ndugu yako Esau anajifariji akikusudia kukuua.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 27:42
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Esau akamuchukia Yakobo kwa sababu ya baraka aliyokuwa amepewa na baba yake. Esau akawaza: “Siku za kilio cha baba zitakapokwisha, ndipo nitakapomwua ndugu yangu Yakobo.”


Kwa hiyo, mwana wangu, sikiliza maneno yangu. Ondoka ukimbilie kwa kaka yangu Labani kule Harani.


sistahili hata kidogo wema wote na uaminifu wote ulionitendea mimi mutumishi wako. Nilipovuka muto Yordani, sikukuwa na kitu isipokuwa fimbo; lakini sasa nina makundi haya mawili.


Yakobo alipowaona, akasema: “Hii ni kambi ya jeshi la Mungu!” Kwa hiyo akaita pahali pale “Kambi mbili”.


Wanapiga mutu mukamilifu kwa uficho, wanamupiga kwa rafla bila kuogopa.


watu wanaofurahia kutenda maovu na kupendezwa na upotovu wa maovu,


Wake wawili wa Daudi, Ahinoamu kutoka Yezereheli na Abigaili mujane wa Nabali, nao vilevile walikuwa wamekamatwa mateka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ