Mwanzo 27:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200241 Basi, Esau akamuchukia Yakobo kwa sababu ya baraka aliyokuwa amepewa na baba yake. Esau akawaza: “Siku za kilio cha baba zitakapokwisha, ndipo nitakapomwua ndugu yangu Yakobo.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |