39 Kwa hiyo Isaka, baba yake, akamwambia: “Makao yako yatakuwa mbali na udongo wenye mboleo, na mbali na umande wa mbinguni.
Basi, Yakobo akamukaribia baba yake na kumubusu, na baba yake aliposikia harufu ya nguo zake, akamubariki akisema: “Hii ni harufu nzuri ya mwana wangu. Ni kama harufu ya shamba Yawe alilobariki!
Mungu akumiminie umande wa mbinguni, akupe udongo wenye mboleo, ngano na divai kwa wingi.
Lakini Esau akasema: “Nina mali ya kutosha, ndugu yangu. Mali yako ikuwe yako mwenyewe.”
Juu ya kabila la Yosefu akasema: “Yawe abariki inchi yake, kwa baraka nzuri kabisa kutoka juu,
Kwa hiyo, watu wa Israeli wakakaa salama, wazao wa Yakobo peke yao, katika inchi iliyojaa ngano na divai, inchi ambayo anga lake linadondosha umande.
Kwa njia ya imani, Isaka aliwabariki Yakobo na Esau kuelekea mambo ya siku zitakazokuja.
naye Isaka nikamupa Yakobo na Esau. Nilimupa Esau milima ya Seiri airizi. Lakini Yakobo na watoto wake walikwenda Misri.