Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 27:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Esau akamwambia baba yake: “Baba, maana yake una baraka moja tu? Unibariki hata mimi, ee baba!” Halafu Esau akalia kwa sauti kubwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 27:38
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Esau aliposikia maneno ya baba yake, akalia kilio kikubwa na cha uchungu. Kisha akamwambia baba yake: “Ee baba yangu, unibariki mimi, tafazali!”


Esau akasema: “Ndiyo maana anaitwa Yakobo! Ametwaa nafasi yangu mara mbili. Kwanza alitwaa haki yangu ya muzaliwa wa kwanza, na sasa ametwaa baraka yangu.” Kisha akamwuliza baba yake: “Basi, haukuniwekea baraka yoyote?”


Hayo ndiyo makabila kumi na mawili ya Israeli, na hayo ndiyo maneno baba yao aliyowaambia alipowabariki, kila mumoja wao kama alivyostahili.


Watumishi wangu wataimba kwa furaha ndani ya moyo, lakini ninyi mutalia kwa uchungu ndani ya moyo na kupiga kelele kwa uchungu mukubwa ndani ya roho.


Kama munavyojua, nyuma ya pale alikataliwa wakati alipotaka kupokea baraka toka kwa baba yake. Yeye hakukuwa tena na namna ya kugeuza tendo lake ijapokuwa alitafuta baraka ile kwa machozi.


Wale wajumbe walipofika katika muji wa Gibea, ambako Saulo alikoishi, wakaeleza habari hizo na watu wote wakaanza kulia kwa sauti.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ