Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 27:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 Esau aliposikia maneno ya baba yake, akalia kilio kikubwa na cha uchungu. Kisha akamwambia baba yake: “Ee baba yangu, unibariki mimi, tafazali!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 27:34
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Isaka akasema: “Ndugu yako alikuja kwa udanganyifu, naye ametwaa baraka yako.”


Mordekayi alipojua yote yaliyotukia, akapasua nguo zake, akavaa nguo ya gunia, na kujitia majivu. Kisha, akapita katikati ya muji akilia kwa sauti ya uchungu.


Basi, mutakula matunda ya mienendo yenu, mutageukiwa na mashauri yenu wenyewe.


Mutu akijiangamiza kwa upumbafu wake, anaielekeza hasira yake kwa Yawe.


Kama munavyojua, nyuma ya pale alikataliwa wakati alipotaka kupokea baraka toka kwa baba yake. Yeye hakukuwa tena na namna ya kugeuza tendo lake ijapokuwa alitafuta baraka ile kwa machozi.


Halafu Daudi na watu wake wakaanza kulalamika, wakalia mpaka walipoishiwa nguvu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ