Mwanzo 27:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
30 Isaka alipokwisha kumubariki Yakobo, naye Yakobo alipokuwa angali tu anatoka mbele ya baba yake Isaka, Esau kaka ya Yakobo, akarudi kutoka katika mawindo.
Jamii za watu zikutumikie, na mataifa yainame mbele yako kwa heshima. Ukuwe mutawala wa wandugu zako, na wana wa mama yako wainame mbele yako kwa heshima. Kila mutu anayekulaani alaaniwe, kila mutu anayekubariki abarikiwe!”
Kama munavyojua, nyuma ya pale alikataliwa wakati alipotaka kupokea baraka toka kwa baba yake. Yeye hakukuwa tena na namna ya kugeuza tendo lake ijapokuwa alitafuta baraka ile kwa machozi.