23 Hakumutambua kwa sababu mikono yake ilikuwa yenye nywele nyingi kama ya Esau kaka yake; kwa hiyo akamubariki.
Lakini Yakobo akamwambia mama yake Rebeka: “Kumbuka kaka yangu Esau amejaa nywele juu ya mwili, lakini mimi sina.
Akafunika mikono yake na sehemu laini ya shingo yake kwa ngozi za wana-mbuzi.
Yakobo akamukaribia baba yake Isaka, naye akamupapasa na kusema: “Sauti ni sauti ya Yakobo, lakini mikono ni mikono ya Esau.”
Akamwuliza tena: “Kweli wewe ndiwe mwana wangu Esau?” Naye akamujibu: “Ndiyo.”
Kwa njia ya imani, Isaka aliwabariki Yakobo na Esau kuelekea mambo ya siku zitakazokuja.