22 Yakobo akamukaribia baba yake Isaka, naye akamupapasa na kusema: “Sauti ni sauti ya Yakobo, lakini mikono ni mikono ya Esau.”
Labda baba atataka kunipapasa, nami nitaonekana kama mudanganyifu, kwa hiyo nitajiletea laana pahali pa baraka.”
Halafu Isaka akamwambia Yakobo: “Basi, mwana wangu, karibia nipate kukupapasa kusudi nijue kweli kama wewe ndiwe mwana wangu Esau au hapana.”
Hakumutambua kwa sababu mikono yake ilikuwa yenye nywele nyingi kama ya Esau kaka yake; kwa hiyo akamubariki.
Walipokuwa kwa Mika, wakaitambua sauti ya yule kijana Mulawi. Wakamugeukia na kumwuliza: “Nani amekuleta huku? Una shuguli gani hapa?”