21 Halafu Isaka akamwambia Yakobo: “Basi, mwana wangu, karibia nipate kukupapasa kusudi nijue kweli kama wewe ndiwe mwana wangu Esau au hapana.”
Labda baba atataka kunipapasa, nami nitaonekana kama mudanganyifu, kwa hiyo nitajiletea laana pahali pa baraka.”
Yakobo akamukaribia baba yake Isaka, naye akamupapasa na kusema: “Sauti ni sauti ya Yakobo, lakini mikono ni mikono ya Esau.”
Lakini, kwangu ni vizuri kuwa karibu na Mungu. Wewe Bwana wangu Yawe ndiwe usalama wangu. Nitatangaza mambo yote uliyotenda!
Mimi nitawapa amani, amani kwa wanaokuwa mbali na wanaokuwa karibu! –Ni Yawe anayesema hivyo.– Mimi nitawaponyesha.
Mumukaribie Mungu, naye atawakaribia. Musafishe mikono yenu, ninyi wenye zambi! Mutakase mioyo yenu, ninyi wenye nia mbili!