20 Lakini Isaka akamwuliza: “Imekuwa namna gani hata umepata mawindo upesi hivyo, mwana wangu?” Yakobo akamujibu: “Yawe, Mungu wako, amenifanikisha.”
Naye akaomba: “Ee Yawe, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ninakuomba unisaidie leo na umutendee mema bwana wangu Abrahamu.
Halafu Isaka akamwambia Yakobo: “Basi, mwana wangu, karibia nipate kukupapasa kusudi nijue kweli kama wewe ndiwe mwana wangu Esau au hapana.”
Munazani munamutumikia Mungu kwa kusema uongo na udanganyifu?
Usitaje bure jina langu mimi Yawe, Mungu wako, maana mimi Yawe sitaacha kumwazibu yeyote anayetaja bure jina langu.