18 Basi, Yakobo akaingia ndani kwa baba yake, akamwita: “Baba!” Naye akaitika: “Niko hapa! Ni nani wewe mwana wangu?”
Kisha akamupa kile chakula kitamu na mukate aliokuwa ametayarisha.
Yakobo akamujibu baba yake: “Ni mimi Esau, muzaliwa wako wa kwanza. Nimefanya kama ulivyoniagiza. Tafazali baba, amuka uikae ukule nyama ya mawindo yangu kusudi upate kunibariki.”
Isaka akauliza: “Wewe ni nani?” Naye akamujibu: “Ni mimi mwana wako Esau, muzaliwa wako wa kwanza.”
Basi, Israeli akamwambia Yosefu: “Unajua wandugu zako wanachunga nyama kule Sekemu. Kwa hiyo ninataka kukutuma kwao.” Yosefu akajibu: “Niko tayari.”
Halafu mutaomba, nami Yawe nitawaitikia; mutalia kwa sauti kwa kuomba musaada, nami nitajibu hivi: Niko hapa! Kama mukiondoa mambo ya kitumwa, mukiacha kuzarau wengine na kusema maovu,