16 Akafunika mikono yake na sehemu laini ya shingo yake kwa ngozi za wana-mbuzi.
Wa kwanza alikuwa mwekundu, mwenye nywele mwili wote; hivyo wakamwita Esau.
Kisha Rebeka akatwaa nguo bora za Esau, mwana wake mukubwa, alizokuwa nazo kwa nyumba, akamuvalisha Yakobo, mwana wake mudogo.
Kisha akamupa kile chakula kitamu na mukate aliokuwa ametayarisha.
Hakumutambua kwa sababu mikono yake ilikuwa yenye nywele nyingi kama ya Esau kaka yake; kwa hiyo akamubariki.