Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 27:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Basi, Yakobo akakwenda kutwaa wana-mbuzi wawili na kuwaletea kwa mama yake. Naye akatayarisha chakula kitamu sawa vile baba yake Isaka alivyopenda.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 27:14
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Isaka akamupenda Esau kwa sababu alipenda kula nyama wa mawindo yake, lakini Rebeka akamupenda Yakobo.


Mama yake akamwambia: “Laana yako inipate mimi, mwana wangu; wewe fanya ninavyokuagiza. Kwenda uniletee wale wana-mbuzi.”


Kisha Rebeka akatwaa nguo bora za Esau, mwana wake mukubwa, alizokuwa nazo kwa nyumba, akamuvalisha Yakobo, mwana wake mudogo.


Kisha akamupa kile chakula kitamu na mukate aliokuwa ametayarisha.


Esau vilevile akatengeneza chakula kitamu, akamupelekea baba yake, akamwambia: “Basi baba, amuka ukule nyama ya mawindo yangu mimi mwana wako, upate kunibariki!”


Halafu unitengenezee chakula kitamu, kile ninachopenda, uniletee nikule, nipate kukubariki mbele ya kufa kwangu.”


amwindie nyama na kumutengenezea chakula kitamu, akikule, apate kumubariki mbele ya Yawe mbele ya kufa kwake.


Kwenda kwenye kundi la mbuzi uniletee wana-mbuzi wawili wazuri, nimutengenezee baba yako chakula kitamu, kile anachopenda.


Unikinge nisielekee kufanya mabaya, nisijishugulishe na matendo maovu, nisijiunge na watu wanaotenda mabaya, wala nisishiriki hata kidogo katika karamu zao.


“Mujilinde vizuri, kusudi musilemewe na kutafuta kula ulafi, kulewa na kusumbukia maisha. Kama si vile, Siku ile ya kurudia kwa Kristo itawafikia kwa rafla


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ