10 Kisha utamupelekea baba yako akule, apate kukubariki mbele ya kufa kwake.”
Naye akaomba: “Ee Yawe, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ninakuomba unisaidie leo na umutendee mema bwana wangu Abrahamu.
Lakini Yakobo akamwambia mama yake Rebeka: “Kumbuka kaka yangu Esau amejaa nywele juu ya mwili, lakini mimi sina.
Kwenda kwenye kundi la mbuzi uniletee wana-mbuzi wawili wazuri, nimutengenezee baba yako chakula kitamu, kile anachopenda.