26 Abimeleki alitoka Gerari akiwa pamoja na Ahuzati, mushauri wake, na Fikoli, jemadari wa jeshi lake, akamwendea Isaka.
Lakini Mungu akamufikia Abimeleki katika ndoto usiku, akamwambia: “Wewe utakufa kwa sababu ya mwanamuke uliyemutwaa, maana yuko na mume wake.”
Isaka akawauliza: “Kwa nini mumekuja kwangu ijapokuwa munanichukia na mulinifukuza kwenu?”