Mwanzo 26:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200222 Kisha Isaka akakwenda pahali pengine na kuchimba kisima kingine. Lakini hicho hawakukigombania. Hivyo Isaka akakiita “Nafasi Pana”, akisema: “Sasa Yawe ametuachia nafasi, nasi tutastawi katika inchi hii.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |