13 naye akatajirika. Alizidi kupata mali mpaka akakuwa tajiri sana.
Wakati ule, Abramu alikuwa ametajirika sana. Alikuwa na makundi ya nyama, feza na zahabu.
Yawe amemubariki sana bwana wangu, naye amekuwa mutu mukubwa. Amemupa makundi ya kondoo na nyama wengi, feza na zahabu, watumishi wanaume na wanawake, ngamia na punda!
Basi, Yakobo akatajirika sana, akakuwa na makundi makubwa ya nyama, wajakazi na watumwa, ngamia na punda.
Ndani ya nyumba yake kutakuwa mali nyingi; haki yake utadumu milele.
Baraka za Yawe ndizo zinazoleta utajiri. Juhudi za mutu haziongezi kitu.