Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 25:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kisha kuishi maisha marefu na ya fanaka, akakufa na kukutana na wazee wake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 25:8
27 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini wewe mwenyewe utaishi maisha marefu na kufa kwa amani.


Isimaeli alikuwa na umri wa miaka mia moja makumi tatu na saba alipokufa na kukutana na wazee wake.


Abrahamu aliishi miaka mia moja makumi saba na mitano.


Rakeli akiwa karibu kufa, akamupa yule mutoto jina Beni-oni. Lakini baba yake akamwita mutoto yule Benjamina.


Watoto wake wanaume na wanawake wakamufikia kwa kumufariji, lakini akakataa kufarijiwa, akisema: “Uniache. Nitaendelea kuomboleza kwa ajili ya mwana wangu, mpaka nitakaposhuka katika kaburi.” Ndivyo baba yake alivyomulilia.


Kisha Israeli akawaagiza wana wake hivi: “Mimi niko karibu kufa na kwenda kukutana na watu wangu. Munizike pamoja na wazee wangu katika pango linalokuwa katika shamba la Efuroni Muhiti,


Yakobo alipomaliza kuwaagiza wana wake, akarudisha miguu yake juu ya kitanda, akakufa na kukutana na wazee wake.


wakamupeleka mpaka inchi ya Kanana, wakamuzika katika pango lililokuwa katika shamba kule Makipela, upande wa mashariki wa Mamure. Pango pamoja na shamba lile Abrahamu alikuwa amelinunua kwa Efuroni Muhiti, kusudi pakuwe pahali pake pa kuzikia.


Daudi alipokuwa muzee wa miaka mingi, akamuweka Solomono mwana wake kuwa mufalme wa Israeli.


Alikufa akiwa muzee sana, alishiba siku, akiwa na mali na heshima. Mwana wake Solomono akakuwa mufalme kwa pahali pake.


Lakini Yoyada akazeeka na alipofikisha umri wa miaka mia moja na makumi tatu, akakufa.


Basi, Yobu akakufa akiwa muzee wa miaka mingi.


Utashuka katika kaburi ukiwa na miaka yenye kutimia, kama vile muganda wa ngano uliokomaa vizuri.


Utukufu wa vijana ni nguvu zao. Uzuri wa wazee ni kichwa chenye imvi.


Nimejaa hasira ya Yawe nami ninachoka kwa kuizuia. Kwa hiyo Yawe akaniambia: Umwange hasira ile katika barabara juu ya watoto na vilevile juu ya makundi ya vijana; nayo itawaangukia wote, mume na muke, nao wazee na hata wale ambao wamezeeka sana.


Haruni atakufa; hataingia katika inchi ambayo nimewapa Waisraeli kwa sababu ninyi wawili muliasi amri yangu kule Meriba.


Ukisha kuiona, utakufa na kukutana na wazee wako, kama vile ndugu yako Haruni alivyokutana nao,


Na pale pale malaika wa Bwana akamwazibu Herode kwa ugonjwa kwa sababu alijitukuza kwa pahali pa Mungu. Herode akakuliwa na michango ya tumbo na kisha akakufa.


Lakini Daudi alipokwisha kutumika sawasawa na kusudi la Mungu katika maisha yake, akakufa na kwenda kukutana na babu zake waliomutangulia, naye akaoza.


Mara moja Safira akaanguka chini mbele ya Petro na kufa. Halafu wale vijana wakaingia ndani, wakamukuta amekwisha kufa. Basi wakamubeba mbali na muji na kumuzika kule karibu na mume wake.


Anania aliposikia maneno hayo, mara moja akaanguka chini na kufa. Na wote waliosikia habari ile wakashikwa sana na woga.


Kulekule juu ya mulima utakufa na kukutana na wazee wako kama vile kaka yako Haruni alivyokufa katika mulima Hori na kukutana nao,


Kisha watu wote wa kizazi chake wakakufa, kizazi kingine kikafuata ambacho hakikumujua Yawe wala matendo aliyowatendea watu wa Israeli.


Gideoni mwana wa Yoasi, akakufa akiwa na umri mukubwa, akazikwa katika kaburi la baba yake Yoasi kwenye muji wa Ofura wa Waabiezeri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ