Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 25:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Hawa ndio wazao wa Isimaeli mwana wa Abrahamu ambaye Hagari Mumisri aliyekuwa mujakazi wa Sara alimuzalia Abrahamu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 25:12
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Na juu ya Isimaeli, nimesikia ombi lako. Nitamubariki, nitamujalia watoto wengi na kuwazidisha sana. Isimaeli atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, nami nitamufanya kuwa baba wa taifa kubwa.


Na juu ya huyo mwana wa mujakazi wako nitamufanya akuwe baba wa taifa kubwa kwa sababu yeye vilevile ni mutoto wako.”


Simama umwinue mutoto na kumushika vizuri katika mikono yako, maana nitamufanya akuwe baba wa taifa kubwa.”


Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaka na Isimaeli. Isimaeli alikuwa baba ya:


Nebayoti, ndiye muzaliwa wake wa kwanza, Kedari, Abudeli, Mibusami,


Kweli, wanakubaliana kwa moyo moja, wanafanya mapatano juu yako:


Kisha akawaambia: “Ningependa kuwaomba kitu kimoja; ninaomba kila mumoja wenu anipe pete kati ya vitu mulivyoteka.” Wale Wamidiani kwa vile walikuwa Waisimaeli, walivaa pete za zahabu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ