Abrahamu akakubaliana na Efuroni, akamupimia kadiri ya feza alizotaja mbele ya Wahiti wote, feza vikoroti mia ine, kadiri ya vipimo vya wachuuzi wa wakati ule.
aniuzishie lile pango lake la Makipela linalokuwa kwa mupaka wa shamba lake. Mumusihi aniuzishie nilifanye makaburi yangu. Anipatie kwa bei ya haki hapahapa mbele yenu.”