Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 25:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Abrahamu alikuwa amenunua shamba lile kwa Wahiti. Kule ndiko Abrahamu na muke wake Sara walizikwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 25:10
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abrahamu akakubaliana na Efuroni, akamupimia kadiri ya feza alizotaja mbele ya Wahiti wote, feza vikoroti mia ine, kadiri ya vipimo vya wachuuzi wa wakati ule.


Kule ndiko walikozikwa Abrahamu na muke wake Sara, kule ndiko walikozika Isaka na muke wake Rebeka, na kule ndiko nilikomuzika Lea.


Kanana alikuwa babu ya Sidona, muzaliwa wake wa kwanza, na Heti,


Abrahamu akaacha maiti ya muke wake, akatoka na kwenda kuzungumuza na Wahiti, akawaambia:


lakini unilalishe pamoja na babu zangu. Unitwae kutoka Misri na kunizika katika makaburi yao.” Yosefu akamujibu: “Nitafanya kama ulivyosema.”


aniuzishie lile pango lake la Makipela linalokuwa kwa mupaka wa shamba lake. Mumusihi aniuzishie nilifanye makaburi yangu. Anipatie kwa bei ya haki hapahapa mbele yenu.”


Basi, shamba la Efuroni linalokuwa kule Makipela, upande wa mashariki ya Mamure, pango na miti yote iliyokuwa kule pamoja na eneo zima, likakuwa la


Shamba na pango lililokuwa mule lililohakikishwa na Wahiti likuwe mali ya Abrahamu apate kuzika wafu wake mule.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ