1 Abrahamu akaoa muke mwingine, jina lake Ketura.
Basi, Isaka akamutwaa Rebeka ndani ya hema iliyokuwa ya mama yake Sara, naye akakuwa muke wake. Isaka akamupenda Rebeka na kupata kufarijika nyuma ya kifo cha mama yake.
Ketura alimuzalia Abrahamu: Zimurani, Yokisani, Medani, Midiani, Isibaki na Sua.
Hivyo Isaka akamwita Yakobo, akamubariki, akamwagiza akisema: “Usioe mwanamuke yeyote Mukanana.