66 Yule mutumishi akamwelezea Isaka yote aliyokuwa ameyafanya.
na kumwuliza mutumishi wa Abrahamu: “Ni nani yule mutu anayetembea kule katika shamba, anakuja kutupokea?” Yule mutumishi akasema: “Ni bwana wangu.” Basi, Rebeka akatwaa kitambaa chake, akajifunika uso.
Basi, Isaka akamutwaa Rebeka ndani ya hema iliyokuwa ya mama yake Sara, naye akakuwa muke wake. Isaka akamupenda Rebeka na kupata kufarijika nyuma ya kifo cha mama yake.
Mitume wakarudi kwa Yesu, na kumwelezea mambo yote waliyofanya na yote waliyofundisha.