62 Wakati ule, Isaka alikuwa ameondoka Beri-Lahai-Roi, akakaa pande za Negebu.
Kisha Abramu akaendelea kusafiri kuelekea upande wa Negebu.
Ndiyo maana kile kisima kinaitwa “Kisima cha yule anayeishi na anayeniona”. Kisima hiki kipo kati ya Kadesi na Beredi.
Abrahamu alisafiri toka kule na kuelekea eneo la Negebu, akafanya makao yake kati ya Kadesi na Suri, kisha akakwenda kukaa kwa muda kule Gerari.
Kisha, Rebeka na wajakazi wake wakapanda juu ya ngamia na kumufuata yule mutumishi wa Abrahamu, nao wote wakaondoka.
Nyuma ya kifo cha Abrahamu, Mungu alimubariki mwana wake Isaka. Naye Isaka akaishi karibu na kisima cha Beri-Lahai-Roi.