57 Nao wakasema: “Basi, tumwite binti mwenyewe, tumwulize.”
Lakini yeye akasema: “Tafazali, musinicheleweshe, kwa sababu Yawe amekwisha kufanikisha katika safari yangu. Ninaomba muniruhusu kurudi kwa bwana wangu.”
Wakamwita Rebeka na kumwuliza: “Utakwenda na mutu huyu?” Naye akajibu: “Nitakwenda.”
Na hivi ndivyo Yawe anavyoamuru juu ya wabinti za Selofehadi; wako huru kuolewa na mutu yeyote wanayemupenda, lakini waolewe katika kabila lao,