Mwanzo 24:56 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
56 Lakini yeye akasema: “Tafazali, musinicheleweshe, kwa sababu Yawe amekwisha kufanikisha katika safari yangu. Ninaomba muniruhusu kurudi kwa bwana wangu.”
Lakini yeye akasema: ‘Yawe aliyeniongoza katika maisha yangu, atamutuma malaika wake aende pamoja nawe na kukufanikisha katika safari yako. Nawe utamutwalia mwana wangu muke kutoka kwa jamaa yangu na nyumba ya baba yangu.
Mutumishi wa Abrahamu na watu aliokuja nao wakakula, wakakunywa na kulala kule. Walipoamuka asubui, mutumishi yule akasema: “Ninaomba kurudi kwa bwana wangu.”
Hakikisha kwamba hautakisahau hata kidogo kitabu hiki cha sheria; lakini kila siku utajifunza kitabu hiki, muchana na usiku, kusudi upate kutimiza yote yaliyoandikwa humu, nawe utastawi na kufanikiwa.