Nyuma ya siku chache akarudi kule Timuna kwa kumutwaa yule binti. Alipokuwa katika njia akageuka pembeni kwa kuangalia muzoga wa yule simba, kumbe kulikuwa nyuki na asali ndani ya muzoga.
Kama mutu akiuzisha nyumba yake ya kukaa inayokuwa ndani ya muji uliojengewa ukuta, ataweza kuikomboa katika kipindi cha mwaka mumoja tangu alipoiuzisha. Kwa mwaka huo muzima atakuwa na haki ya kuikomboa.
Lakini yeye akasema: “Tafazali, musinicheleweshe, kwa sababu Yawe amekwisha kufanikisha katika safari yangu. Ninaomba muniruhusu kurudi kwa bwana wangu.”