Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 24:44 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

44 naye akinipa na kuwatekea ngamia wangu maji, basi yule akuwe ndiye uliyemuchagua kuwa muke wa mwana wa bwana wangu.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 24:44
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Na huo ubavu Yawe Mungu alioutoa kwa yule mwanaume akaufanya kuwa mwanamuke, akamuleta kwa huyo mwanaume.


Basi, binti nitakayemwambia atue mutungi wake wa maji anipatie maji nikunywe, naye akinipa mimi na kuwakunywesha ngamia wangu, akuwe ndiye uliyemuchagulia mutumishi wako Isaka. Jambo hilo litanionyesha kwamba umemutendea mema bwana wangu.”


Niko hapa kando ya kisima. Binti atakayekuja kuteka maji ambaye nitamwomba anipatie maji kidogo ya kunywa kutoka mutungi wake,


“Mbele sijamaliza kuomba ndani ya moyo wangu, mara tu Rebeka akafika na mutungi wake wa maji juu ya bega, akateremuka kwenye kisima na kuteka maji. Nami nikamwambia: ‘Tafazali unipe maji ya kunywa.’


Kura inapigwa kwa kujua yatakayotukia, lakini uamuzi ni wa Yawe.


Anayemupata muke amepata kizuri; ni zawadi kutoka kwa Yawe.


Nyumba na mali ni urizi mutu anaopata kwa babu zake, lakini muke mwenye akili anatoka kwa Yawe.


Lakini wenye heshima wanatenda mambo ya heshima, nao wanatetea mambo yenye heshima.


Lakini kujipamba kwao kuwe matendo mema yanayostahili kutendwa na wanawake wanaojidai kwamba wanajitoa kwa kumwabudu Mungu.


Musisahau kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivi wamoja wamewakaribisha wamalaika pasipo kujua.


Kwa kumaliza, ninyi wote mukuwe na mawazo na nia moja, mupendane kama wandugu waamini, mukuwe wema na wanyenyekevu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ