Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 24:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Uniapie kwamba utakwenda mpaka katika inchi yangu, kwa jamaa zangu, umutafutie mwana wangu Isaka muke.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 24:4
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha kuzaa Tera, Nahori aliishi miaka mia moja kumi na tisa, na kupata wana wengine na wabinti.


Basi, Yawe akamwambia Abramu: “Ondoka katika inchi yako, acha jamaa yako na nyumba ya baba yako, uende katika inchi nitakayokuonyesha.


Halafu Yawe akamutokea Abramu, akamwambia: “Nitawapa wazao wako inchi hii.” Basi, Abramu akajenga mazabahu kwa ajili ya Yawe aliyemutokea.


Lakini utakwenda mpaka katika inchi yangu, kwa jamaa zangu, kusudi umutafutie mwana wangu Isaka muke.’


Mutumishi akamwambia: “Labda mwanamuke yule atakataa kunifuata kuja huku, ikiwa hivyo, ni lazima nimurudishe mwana wako katika inchi ulikotoka?”


Hivyo Isaka akamwita Yakobo, akamubariki, akamwagiza akisema: “Usioe mwanamuke yeyote Mukanana.


Kwenda Padani-Aramu, kwa nyumba ya babu yako Betueli, uoe mumoja kati ya wabinti za mujomba wako Labani.


Yoyada akamwoea wake wawili, nao wakamuzalia wana na wabinti.


Kama wangekumbuka inchi yao walioiacha zamani, wangeweza kupata namna ya kurudia kule.


Lakini wazazi wake wakamwambia: “Hakuna binti yeyote kati ya wandugu zako au kati ya watu wetu kusudi uende kuoa kwa Wafilistini wasiotahiriwa?” Lakini Samusoni akamwambia baba yake: “Munioee binti huyo, maana ananipendeza sana.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ