39 Nami nikamwambia bwana wangu: ‘Labda mwanamuke yule atakataa kunifuata kuja huku.’
Lakini utakwenda mpaka katika inchi yangu, kwa jamaa zangu, kusudi umutafutie mwana wangu Isaka muke.’
Mutumishi akamwambia: “Labda mwanamuke yule atakataa kunifuata kuja huku, ikiwa hivyo, ni lazima nimurudishe mwana wako katika inchi ulikotoka?”