34 Yule mutu akasema: “Mimi ni mutumishi wa Abrahamu.
Siku moja Abrahamu akamwambia mutumishi wake aliyekuwa muzee kuliko wengine na musimamizi wa mali yake yote: “Weka mukono wako chini ya paja yangu,
Basi, wakamutayarishia chakula, lakini yeye akasema: “Sitakula mpaka niseme ninachotaka kusema.” Labani akamwambia: “Basi, sema.”