Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 24:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na pahali pa kulala kwa wageni.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 24:25
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Rebeka akajibu: “Mimi ni binti ya Betueli mwana wa Milka, muke wa Nahori.


Halafu yule mutu akainamisha kichwa chake, akamwabudu Yawe


Basi, mutumishi yule wa Abrahamu akaingia ndani ya nyumba. Labani akafungua ngamia na kuwapatia majani, akamupa yeye na watu wake maji ya kunawa miguu.


Ikakuwa walipofika pahali pa kulala wageni kwa njia, mumoja wao akafungua mufuko wake kusudi apate kumukulisha punda wake, akashangaa kukuta feza yake kwenye kinywa cha mufuko wake.


Lakini wenye heshima wanatenda mambo ya heshima, nao wanatetea mambo yenye heshima.


Mukaribishane ninyi kwa ninyi pasipo kunungunika.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ