Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 24:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Rebeka akajibu: “Mimi ni binti ya Betueli mwana wa Milka, muke wa Nahori.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 24:24
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abramu na Nahori wakaoa. Muke wa Abramu aliitwa Sarai. Muke wa Nahori aliitwa Milka, binti ya Harani ambaye vilevile alikuwa baba ya Isika.


Nyuma ya mambo hayo Abrahamu akapata habari kwamba Milka vilevile amemuzalia ndugu yake Nahori watoto wanaume:


Betueli alizaa Rebeka. Milka alimuzalia Nahori, ndugu ya Abrahamu, watoto hao wanane.


Mbele hajamaliza kuomba, mara moja Rebeka, binti ya Betueli mwana wa Milka, muke wa Nahori, ndugu ya Abrahamu, akafika akibeba mutungi wake kwenye bega.


Akamwuliza: “Uniambie tafazali, wewe ni binti ya nani? Kuna nafasi ya kulala katika nyumba ya baba yako?”


Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na pahali pa kulala kwa wageni.”


Halafu nilimwuliza: ‘Wewe ni binti ya nani?’ Akaniambia: ‘Mimi ni binti ya Betueli mwana wa Milka, muke wa Nahori.’ Halafu nikamupa pete na kumuvalisha vikomo kwa mikono.


Naye akawauliza: “Munamufahamu Labani mwana wa Nahori?” Wakamujibu: “Tunamufahamu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ