Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 24:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Yule mutu akakuwa anamwangalia kwa uangalifu bila kusema lolote, apate kufahamu kama Yawe amefanikisha safari yake au sivyo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 24:21
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Naye akaomba: “Ee Yawe, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ninakuomba unisaidie leo na umutendee mema bwana wangu Abrahamu.


Basi, akafanya haraka, akawamiminia ngamia maji ya mutungi wake katika birika, akakimbia kwenye kisima kuteka maji mengine na kuwakunywesha ngamia wake wote.


akisema: “Atukuzwe Yawe, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ambaye hajasahau wema na uaminifu wake kwa bwana wangu. Yawe ameniongoza mimi mwenyewe moja kwa moja mpaka kwa jamaa ya bwana wangu!”


Lakini yeye akasema: “Tafazali, musinicheleweshe, kwa sababu Yawe amekwisha kufanikisha katika safari yangu. Ninaomba muniruhusu kurudi kwa bwana wangu.”


Mumushukuru Yawe kwa sababu ni muzuri! Wema wake unadumu milele!


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Wenye hekima wafikiri juu ya mambo haya, watambue wema wa Yawe.


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Lakini Maria akachunga mambo hayo yote ndani ya moyo na kuyafikiri sana.


Basi Yesu akarudia Nazareti pamoja nao, akaendelea kuwatii. Na mama yake alichunga maneno haya yote katika moyo wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ