Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 24:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Siku moja Abrahamu akamwambia mutumishi wake aliyekuwa muzee kuliko wengine na musimamizi wa mali yake yote: “Weka mukono wako chini ya paja yangu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 24:2
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Abramu akasema: “Ee Yawe, utanipa nini wakati ninaendelea kuishi bila mutoto, na murizi wangu ni Eliezeri wa Damasiki?


Yule mutu akasema: “Mimi ni mutumishi wa Abrahamu.


Bwana wangu aliniapisha mimi akisema: ‘Hautamwoea mwana wangu binti yeyote kati ya wabinti za Wakanana ambao ninaishi katika inchi yao.


Kisha Yosefu akamwagiza musimamizi wa nyumba yake akisema: “Ujaze mifuko ya watu hawa ngano kipimo watakachoweza kubeba. Halafu, weka feza ya kila mumoja wao kwenye kinywa cha mifuko wake.


Wakati wa kufa kwake ulipokaribia, Yakobo akamwita mwana wake Yosefu, akamwambia: “Sasa, kama nimepata kukubaliwa mbele yako, weka mukono wako chini ya mapaja yangu, uniahidi kwamba utanitendea kwa wema na uaminifu. Usinizike huku Misri,


Yakobo akamwambia: “Uniapie!” Yosefu akamwapia. Kisha Israeli akainamia upande wa kichwa cha kitanda chake.


Wazee wa nyumba yake walimufuata na kumusihi aamuke, lakini yeye alikataa, na hakukula chakula chochote pamoja nao.


Jemadari wake Simuri ambaye alisimamia nusu ya kundi ya magari yake ya vita alimwasi. Siku moja, mufalme Ela alipokuwa kule Tirza katika nyumba ya Arsa aliyekuwa musimamizi wa nyumba ya kifalme, alikunywa, akalewa.


Viongozi wote na mashujaa vilevile na wana wote wa mufalme Daudi, wakaahidi kuwa watiifu kwa mufalme Solomono.


Wazee wa kanisa wanaoongoza kazi yao vizuri wanastahili kupokea mushahara mara mbili, hasa zaidi wale wanaojitolea kwa kufanya kazi ya kuhubiri na kufundisha.


Yule kiongozi wa wavunaji akajibu: “Ni binti Mumoabu aliyekuja pamoja na Naomi kutoka katika inchi ya Moabu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ