Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 24:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Binti akamujibu: “Kunywa, ee bwana wangu.” Na palepale akatua mutungi wake, akiushikilia kusudi amukunyweshe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 24:18
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, binti nitakayemwambia atue mutungi wake wa maji anipatie maji nikunywe, naye akinipa mimi na kuwakunywesha ngamia wangu, akuwe ndiye uliyemuchagulia mutumishi wako Isaka. Jambo hilo litanionyesha kwamba umemutendea mema bwana wangu.”


Naye akatua mutungi wake haraka toka juu ya bega lake, akasema: ‘Basi, kunywa bwana wangu. Nitatekea ngamia wako maji vilevile.’ Basi, mimi nikakunywa naye akawapa ngamia wangu maji vilevile.


Yule mwanamuke alipokuwa anaondoka, Elia akamwita tena na kumwambia: “Uniletee na kipande cha mukate vilevile.”


Anafungua kinywa kwa kusema kwa hekima; anawashauri wengine kwa wema.


Kwa kumaliza, ninyi wote mukuwe na mawazo na nia moja, mupendane kama wandugu waamini, mukuwe wema na wanyenyekevu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ