Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 23:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 akawaambia: “Ikiwa munaniruhusu nimuzike marehemu muke wangu, tafazali mumwombe Efuroni mwana wa Sohari, kwa ajili yangu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 23:8
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Abrahamu akasimama na kuinama kwa heshima mbele ya wanainchi Wahiti,


aniuzishie lile pango lake la Makipela linalokuwa kwa mupaka wa shamba lake. Mumusihi aniuzishie nilifanye makaburi yangu. Anipatie kwa bei ya haki hapahapa mbele yenu.”


Isaka na Isimaeli, wana wa Abrahamu, wakamuzika baba yao katika pango la Makipela, upande wa mashariki wa Mamure kwenye shamba lililokuwa la Efuroni mwana wa Sohari Muhiti.


Naye akasema: “Tafazali, ninakusihi umwombe mufalme Solomono aniruhusu nimukamate Abisagi, yule Musunami, akuwe muke wangu, kwa maana ninajua hatakukatalia wewe.”


Basi Yesu ndiye Kuhani Mukubwa anayefaa kwa ajili yetu. Yeye ni mutakatifu, hana kosa wala alama ya uchafu. Ametengwa mbali na wenye zambi, naye amenyanyuliwa juu sana mbinguni.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ